KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, February 5, 2013

KASEBA VS MANENO KUONESHANA KAZI MARCH 2 DDC MAGOMENI KONDOA

Bondia Maneno Osward kushoto akitunishiana msuli na Japhert Kaseba wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa  Dar es salaam leo utakaosimamiwa na PST March 2 katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mratibu wa mpambano wa ubingwa wa Taifa, Pendo Njau katikati akiwanyoosha mikono juu mabonia Maneno Osward kushoto na Japhert Kaseba wakati wa kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa Taifa utakaosimamiwa na PST March 2 katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment