KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, March 26, 2013

ANDY MURRAY AMDHOOFISHA GRIGOR DIMITROV NA KUTINGA RAUNDI YA NNE YA MIAMI MASTERS..


At full stretch: Andy Murray is through to the fourth round of the Miami Masters after winning 7-6, 6-3
Andy Murray amefanikiwa kumdhoofisha Grigor Dimitrov kwa seti 7-6 (7-3) 6-3 na kuhatimaye kusonga mbele kwa raundi ya nne ya michuano ya Miami Masters.
Bingwa huyo wa US Open alipoteza sevu mbili mapema katika mchezo huo kabla ya kupata nguvu mpya na kuokoa seti mbili kwa pointi 2-5.
Endapo atashinda taji la michuano hiyo atakuwa moja kwa anakwenda kushika namba moja kwa viwango vya ubora vya mchezo wa tenisi duniani mbele ya Roger Federer.

Andy Murray
Kim Sears
                                                       Kim Sears akimuangalia rafiki yake Murray akimchaopa Dimitrov.

No comments:

Post a Comment