KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, May 13, 2013

REAL MADRID WAPIGA HODI PSG KUMCHUKUA CARLO ANCELOTTI.

Champions: Ancelotti brought the Ligue 1 title to PSG for the first time in 19 years
Carlo Ancelotti

 Rais wa Paris Saint-Germain amedai kuwasiliana na Real Madrid juu ya kusudio lao la kumtaka meneja wao Carlo Ancelotti kwa ajili ya msimu ujao wa ligi.

Taarifa hizo zimezidi kutia utambi habari za kigogo hicho cha Hisapani kuachana na Jose Mourinho majira ya kiangazi.
Meneja huyo Mreno amekuwa akihusishwa sana na kurejea  Chelsea. 

Mwenyekiti wa PSG Nasser Al-Khelaifi ameliambia gazeti la L'Equipe kuwa 
 'siku kadhaa zilizopita meneja mkuu wa Real Madrid Jose Angel Sanchez amewasiliana na mimi kuzungumzia kuwa nizungumze na Ancelotti.
'Haraha sana nikamwambia kama mnataka Carlo, unapaswa kujua kuwa bado ana mkataba wa mwaka mmoja hivyo basi tafadhali heshimu mkataba wetu.

'Tunaziheshimu klabu zote, tunategemea kuwa na majibi kama hayo. Leo hatuna hadhi kama ya Real Madrid, lakini tunastahili heshima'.

'Aliniomba radhi na kuniambia alidhani mkataba wa Ancelotti's ulikuwa umemalizika lakini nilimwambia kuwa alikuwa amekosea na kwamna Carlo bado ana mwaka mwingine mmoja, na kusema wanaheshimu hilo'

Ancelotti aliingia PSG December 2011, na kumaliza katika nafasi ya pili lakini akafanikiwa kutwaa taji msimu huu.

Hapo kabla alikuwa ni meneja wa Chelsea kabla ya kufukuzwa kwa karaha na mmiliki wake Roman AbramovichMay 2011.

Managerial merry-go-round: Carlo Ancelotti is wanted by Real Madrid to replace Jose Mourinho
Carlo Ancelotti anayekumbatiana na David Bekham.

Back in Blue? Mourinho has been strongly linked with a return to Chelsea next season
Mourinho.
 

Zlatan Ibrahimovic anasema anataka kusalia katika jiji la na anataka Ancelotti kusalia kazini ambapo msweden huyo amekaririwa akisema.
'Amefanya kazi kubwa msimu huu,'
Backing: Zlatan Ibrahimovic has hailed Ancelotti and says he wants him to stay

No comments:

Post a Comment