KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, October 25, 2013

HISPANIA INAREJEA UWANJA WALIOSHINDA TAJI LA DUNIA AFRIKA KUSINI.

Afrika kusini itakutana dhidi ya mabingwa wa Ulaya na dunia Hispania katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki mchezo ambao umepangwa kufanyika jijini Johannesburg Novemba 19.

Rais wa chama cha soka nchini Afrika kusini (Safa), Dr Danny Jordaan, amesema mchezo utakuwa ni mwanzo wa Bafana bafana kucheza na vigogo vingine.

Aamekaririwa akisema Jordan 
"Ni ndoto yetu imekuwa kweli hususani kwa mashabiki ambapo kwa mara nyingine watawaona wakali kama akina Iniesta na Xavi wakiwa uwanjani,".

Shirikisho la soka nchini Hispania limesema limefurahishwa kurejea katika jiji hilo na uwanja ambao walishinda kombe la dunia mwaka 2010 kupitia bao la Andres Iniesta. 

No comments:

Post a Comment