KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, February 3, 2014

Masumbwi: Vladimir Klitschko atatetea taji lake dhidi ya Alex Leapai nchini Ujerumani

Bingwa wa dunia wa ngumi za uzito wa juu Vladimir Klitschko atatetea taji lake dhidi ya Alex Leapai mjini Oberhausen , nchini Ujerumani tarehe 26 Aprili mwaka huu. 

Klitschko mwenye umri wa miaka 37, ambaye anashikilia mikanda ya WBO, WBA na IBF atatetea mataji yake hiyo dhidi ya raia huyo wa Australia ambaye anapambana kuwania mataji ya kimataifa kwa mara ya kwanza.

 Leapai mwenye umri wa miaka 34, ameshinda mara 30 kati ya mapambano yake 37, akishindwa mara nne na sare mara tatu.

No comments:

Post a Comment