KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, February 3, 2014

Monday night football: Man City vs Chelsea Etihad Stadium

  • Venue: Etihad Stadium
  • Date: Monday, 3 February

TEAM NEWS

Mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero atakuwa nje ya uwanja kutokana na kuendelea kuuguza jeraha lake la msuli maumivu aliyoyapata katika mchezo wa katikati ya wiki dhidi ya Tottenham Hotspur.

Kiungo wa City Samir Nasri na Javi Garcia pia hawatakuwepo uwanjani kutokana na kusmbuliwa na misuli.

Chelsea itakuwa ikiangalia ubora wa winga wake Mohamed Salah aliyejiunga akitokea Basel ya Uswiz.
Salah hakuwepo katika mchezo wa Jumatano wa dhidi ya West Ham kama ilivyokuwa Fernando Torres, ambaye naye anasumbuliwa na mguu.

MATCH FACTS

Head-to-head
  • Manchester City imwshinda michezo minne waliyokutana kwa mara ya mwisho dhidi ya Chelsea iliyopigwa katika dimba la Etihad, kuanzia msimu wa 2008-09, huku Carlos Tevez na Yaya Toure wakifunga magoli katika mchezo wa mwisho wa ushindi mfululizo wa mabao 2-0 waliokutana.
  • Chelsea ilishinda mchezo mmoja kati ya minne ugenini mapema msimu huu  kwa ushindi wa mabao 2-1 mwezi Oktoba October huku mabao hayo yakifungwa na Andre Schurrle na Fernando Torres na City bao lao likifungwa na Sergio Aguero.

No comments:

Post a Comment