Kufuatia sare ya leo ya bila kufunga kwa Mafunzo dhidi ya Tusker fc ni wazi kuwa mafunzo itakuwa imefuzu kucheza robo fainali ya michuano ya Kagame baada ya kupata sare nyingine katika mchezo wake wa kwanza dhidi ya Azam katika mchezo wa kwanza.
Azam imefikisha points mbili na wanasubiri matokeo ta mchezo wa mwisho wa kundi hilo katika Tusker dhidi ya Azam fc.
Azam ilikwenda sare na Mafunzo nayo Tusker imepata sare na Mafunzo hii leo kwa maana hiyo Tusker na Azam zote zina point moja kila moja na zinatarajia kukutana jumamosi saa nane mchana na kuamua nani wa kusonga mbele.
No comments:
Post a Comment