KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, October 25, 2012

YANGA VS POLISI MATUKIO KATIKA PICHA

Nahodha wa Yanga Shadrack Nsajikwa akipambana na Paschal Maige wa Polisi Morogoro
Mshambuliaji Didier  Kavumbagu wa Yanga akishangilia baada ya kufunga goli la pili la Yanga katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro.
Didier Kavumbagu akijaribu kumtoroka mlinzi wa Polisi Morogoro katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa Taifa ambapo Yanga ilishinda kwa mabao 3-0. Picha zote na Rahel Pallangyor.


No comments:

Post a Comment