YANGA YAZIDI KUPAA KATIKA MSIMAMO WA LIGI KUU YA SOKA TANZANIA BARA, BAADA YA KUWAKANDAMIZA TOTO TAIFA.
|
Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima akiruka kwanja la mlinzi wa Toto Afrika. |
|
Hivi ndivyo bao la Yanga lilivyopatika likifingwa na Nizar Khalfani hayuko pichani |
|
Mshambuliaji wa Yanga Simon Msuva
akipiga shuti huku beki wa Toto African Robert Magadula akimkimbilia
wakati wa mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa uwanja wa Taifa jana, Yanga ilishinda
bao 1-0. Picha na Rahel Pallangyo.
|
|
Mshambuliaji wa Yanga Didier
Kavumbagu akitoa pasi kwa Hamis Kiiza wakati wa mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa
uwanja wa Taifa jana, Yanga ilishinda bao 1-0. Picha na Rahel Pallangyo.
|
|
Golikipa wa Toto African Eric
Ngwegwe akidaka mpira ambao mshambuliaji wa Yanga Hamis Kiiza
alikuwa anaukimbilia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa jana uwanja wa
Taifa, Yanga ilishinda bao 1-0. Picha na Rahel Pallangyo.
|
No comments:
Post a Comment