KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, June 17, 2013

BOSI WA ZAMANI WA NEWCASTLE APEWA KAZI YA UKUREGENZI WA UFUNDI WA KLABU HIYO



Meneja wa zamani wa Newcastle United Joe Kinnear amethibitisha kuwa amepewa kibarua cha kuwa mkurugenzi mpya wa soka wa Magpies.
Kinnear mwenye umri wa miaka 66 ambaye aliiongoza klabu klabu hiyo kama meneja katika msimu wa mwaka 2008-2009 amesema kuwa atakuwa akifanya kazi ya kusaka wachezaji.
Newcastle, ambayo ilimaliza katika nafasi ya tano kutoka nyuma bado kumtangaza rasmi Kinnear kwa nafasi hiyo.
Meneja huyo wa zamani Wimbledon amesema anataka kuimarisha timu hiyo bila kuingilia kazi za kiufundi na uchaguzi wa wachezaji.

Ajira mbalimbali za Joe Kinnear
 January 1992: Appointed manager of Wimbledon
May 1994: Wins League Managers' Association manager of the year award after Dons finish sixth in Premier League
1997: Guides Wimbledon to the semi-finals of FA Cup and League Cup
June 1999: Suffers heart attack in March during game, stands down from job
February 2001: After a three-month spell as Oxford director of football, Kinnear takes over as Luton boss before being sacked in May 2003
February 2004: Replaces Paul Hart at Nottingham Forest but resigns after 10 months
September 2008: Appointed interim Newcastle manager after Kevin Keegan resigns
February 2009: Taken ill and undergoes triple heart bypass. Replaced by Chris Hughton
June 2013: Reveals he is returning to Newcastle as director of football

No comments:

Post a Comment