KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, June 20, 2013

LUIZ SASA KUFANYIWA UPASUAJI BAADA YA KUUMIA KATIKA MCHEZO DHIDI YA MEXICO

 On a stretcher: Luiz was led away as they medical team tried to stem the flow of blood

David Luiz amethibitisha amekuwa katika hali mbaya baada ya kupasuka pua katika mchezo wa kombe la shirikisho baina ya Brazil na Mexico uliopigwa jumatano usiku na sasa anahitajika kufanyiwa upasuaji.
Mlinzi huyo wa Chelsea alilazimika kubadilisha jei yake baada ya kugongana na Thiago Silva katika kipindi cha kwanza wakati akijaribu kuokoa mpira wa adhabu ya moja kwa moja yaani free-kick.
Luiz alijishika pua wakati damu ikitiririka ambapo alionekana akiwa katika maumivu makubwa na sasa atalazimika kuvalia kizuia pua yaani mask mpaka kumalizika kwa michuano ya kombe la mabara nchini Brazil.
Bloody nose: David Luiz was looking groggy went he got sat up after the challenge
David Luiz akionekana kuzubaa baada ya kuumia pua.
 
Pants: Luiz had to resort to a change of kits after he was left with a bloody nose
Luiz akibadilisha jezi baada ya kulowa damu.

Ouch! Luiz had a clash of heads with centre-back partner Thiago Silva

Baada ya kutolewa nje ya machela na baada ya kuhudumiwa na timu ya madaktari kwa dakikia kadhaa aliruhusiwa kurejea uwanjani na wakati huo huo akibadilisha jezi na kushangiliwa na mashabiki.
Katika mchezo huo Brazil ilichomoza na ushindi wa mabao 2-0 huku shukrani kubwa zikisukumwa kwa mshambuliaji Neymar .

 

Help: The was immediate concern for Luiz when he went down
Help: The was immediate concern for Luiz when he went down
On a stretcher: Luiz was led away as they medical team tried to stem the flow of blood
Messy: The staff try and clear up Luiz's nose as fast as possible
Messy: The staff try and clear up Luiz's nose as fast as possible
New look: The Chelsea defender came back onto the pitch with a tissue stuffed up his nose
New look: The Chelsea defender came back onto the pitch with a tissue stuffed up his nose
Chelsea's Demba Ba
Chelsea's Fernando Torres

Hat-trick: Luiz's Chelsea team-mayes Fernando Torres and Demba Ba have needed masks in recent months
 

No comments:

Post a Comment