KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, July 29, 2013

GARETH BALE ANATAKA KUONGEA NA MATAJIRI WA MADRID LICHA YA KLABU YAKE YA TOTTENHAM KUWAWEKE NGUMU.


Mshambuliaji wa Tottenham Gareth Bale ameweka wazi kuwa anataka kyuongea na wakuu wa Real Madrid, lakini pia mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy akiendelea kuweka wazi kuwa mshambuliaji huyo raia wa Wells hatauzwa.
Real bado hawajaweka mezani ombi maalum la kumtaka mshambuliaji huyo yaani kuweka ofa yao mezani ambapo Spurs wakitaka mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 kusalia ndani ya klabu hiyo hata kama watapokea ofa hiyo inayodhaniwa kufikiwa pauni milioni £85.
Tottenham wana imani kuwa watafanikiwa kumshawishi Bale kumalizia mwaka wake mmoja ulisalia ndani ya mkataba wake wa miaka mitatu.
Bale alijiunga na Spurs akitokea Southampton mwaka 2007 kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni £10.

Tamwimu za Bale ndani ya Spurs kila mwaka.

    2012-13: Played 33, scored 21, assisted 4
    2011-12: Played 36, scored 9, assisted 10
    2010-11: Played 30, scored 7, assisted 1
    2009-10: Played 23, scored 3, assisted 5
    2008-09: Played 16, scored 0, assisted 0
    2007-08: Played 8, scored 2, assisted 0

Real wanatarajia kuweka wazi nia yao wiki ijayo na kupambana na pingamizi la Tottenham ambaye ameifungia klabu yake magoli 26 katika michuano mbalimbali msimu uliopita.
Tottenham iliwasili London Jumapili baada ya mchezo wao wa mwisho katika ziara ya kuanza msimu mjini Hong Kong. Bale hakucheza mchezo hata mmoja katika michuano ya Asia Trophy ikiarifiwa kuwa alikuwa ni mwenye maumivu ya misuli.

No comments:

Post a Comment