KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, July 27, 2013

Jose Mourinho hajakata tamaa ya kukamilisha usajili wa kinda asiye na kibali cha kufanya kazi England Bertrand Traore ambaye amemvutia ziarani.

Mourinho desperate for Blues to finally sign Traore
Jose Mourinho hajakata tamaa ya kukamilisha usajili wa kinda asiye na kibali cha kufanya kazi England Bertrand Traore
Jose Mourinho anasema bado hajakata tamaa katika jitihada zake za kutaka kukamilisha usajili wa Bertrand Traore anayejaribiwa katika ziara ya timu hiyo ambaye anasema mchezaji huyo anaweza kuchezea kikosi cha kwanza cha timu yake.
Traore, Nyota Kijana wa Kutoka nchini Burkina Faso kimataifa, amekuwa nyota ya ziara ya Chelsea iliyo katika ziara ya kuanza msimu barani Asia baada ya kufunga mabao mawili katika mechi tatu.
Traore mwenye umri wa miaka 17 amekwenda katika ziara hiyo baada ya kutakiwa na Mourinho kwenda naye na anasema hatachoka kufanya kazi ya kuhakikisha anakamilisha mipango ya kumsajili.
Traore ambaye amekuwepo katika kikosi cha Chelsea cha wachezaji wenye umri chini ya miaka 21 katika kipindi cha miaezi 18 lakini inakuwa ngumu kuidhinishwa katika kikosi cha kwanza baada ya kukabiliwa na kunyimwa kibali cha kufanya kazi nchini Uingereza
Hata hivyo, Mourinho anasema mipango ya kukamisha usajili wake itakamilishwa kabla ya tarehe yake ya kuzaliwa mwezi ujao ambapo atakuwa anakamilisha umri wa miaka 18 na moja kwa moja atamuingiza katika kikosi cha kwanza
Chelsea v Indonesia All-StarsTraore amevutia ziara ya anasema Mourinho.

No comments:

Post a Comment