KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, July 25, 2013

MOYES ANASEMA MIPANGO YA KUMNASA FABREGAS IKO VIZURI NA KWAMBA MAZUNGUMZO BADO YANAENDELEA.

Still a chance: Manchester United manager David Moyes said negotiations for Cesc Fabregas were 'ongoing'
Meneja wa Manchester United David Moyes anasema mazungumzo ya kumnasa Cesc Fabregas bado yanaendelea.

On the hunt: David Moyes was speaking at a press conference in Osaka, Japan
David Moyes alipokuwa akiongea na wnahabari mjini Osaka, Japan.

 Moyes amethibtisha kuwa klabu yake itafanikiwa kumnasa Fabregas na kumpeleka Old Trafford na kwamba klabu yake iko katika mpango wa majaribio wa tatu kwa ajili ya Maestro huyo wa Hispania.
David Moyes ametanabaisha kuwa kuwa Manchester United's inamtamani Cesc Fabregas kutua Old Trafford na kwamba mipango bado iko hai na mizuri.
Bosi huyo mpya wa United amethibitisha hilo katika mkutano wake na wana habari mjini Osaka, nchini Japan, lakini hakutana kuzungumza mengi juu ya hilo.

Klabu hiyo ilikwisha kuweka mezani kiasi cha pauni milioni 30 kwa ajili ya Fabregas, ambayo ilikataliwa na Barcelona wiki iliyopita.
 
Kwasasa kiungo huyo bado yuko katika mapunziko baada ya kumalizika kwa michuano ya Confederations nchini Brazil na hakuwepo katika mchezo wa jana ambao Barcelona ilichapwa 2-0 na kikosi meneja Pep Guardiola Bayern Munich.

Absent: Fabregas missed the defeat to Bayern Munich as he is still on holiday after the Confederations Cup

Wakati huohuo Barcelona imethibitisha kumlipa mafao yake ya sehemu ya mkataba yaliyosalia meneja wao aliyeachia kibarua Tito Vilanova ambaye anasumbuliwa na maradhi ya kansa.

Former boss: Pep Guardiola lead Bayern to a 2-0 victory over his former club
Pep Guardiola aliye iongoza Bayern kushinda mabao 2-0 dhidi ya klabu yake ya zamani Barcelona.
 
Gesture: Barcelona have confirmed they will pay the remainder of Tito Vilanova's contract
Barcelona imethibitisha kumlipa mafao ya sehemu ya mkataba wake meneja wao wa zamani Tito Vilanova.

No comments:

Post a Comment