KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, September 28, 2013

Bao la Yanga limefungwa na Hamisi kiiza latosha kuiipa Yanga ushindi dhidi RUVU SHOOTING.

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa akimtoka mlinzi wa Ruvu Shooting y Pwani Stefano Mwesika katika mchezo uliofanyikia uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mchezo huo Yanga imechomoza na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Hamisi Kiiza.
Wachezaji wa Yanga wakishangia bao lilifungwa na Hamisi Kiiza katikati pichani katika mchezo ambao Yanga wameibuka na ushindi wa bao 1-0 uwanja wa taifa.

No comments:

Post a Comment