KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, November 8, 2013

WATATU WAOMBEWA ITC KUCHEZA UJERUMANI

Watanzania watatu wameombewa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) na Chama cha Mpira wa Miguu Ujerumani (DFB) ili wacheze mpira wa miguu nchini humo.

Wachezaji hao ni Charles Mishetto na David Sondo wanaombewa hati hiyo ili waweze kujiunga na timu ya SpVgg 1914 Selbitz, wakati Eric Magesa ameombewa kibali hicho ili achezee timu ya klabu ya SC Morslingen.

Hata hivyo, katika maombi hayo DFB haikuleza hapa nchini walikuwa wakicheza katika klabu zipi. Wachezaji wote wameombewa hati hiyo kama wachezaji wa ridhaa.

No comments:

Post a Comment