KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, December 18, 2013

Kwanini ni muhimu kuwa wa kwanza katika kipindi cha sikukuu ya Krismass katika ligi ya England

Heading for the top: Liverpool's Luis Suarez celebrates scoring the opener during the 5-0 thrashing of Spurs
  • Historia inasema vilabu saba viliingia msimu wa krismass wakiwa vinara na kisha kutwaa taji.
  • Chelsea imeingia katika msimu kama huu na kuwa wa kwanza mara tatu, Arsenal mara mbili
  • Sunderland, ndiyo klabu pekee iliyoingia katika msimu huu wakishika mkia lakini walifanikiwa kusalia katika ligi.
Mbanano ni mkubwa katika sehemu ya juu katika msimamo wa ligi ya nchini England katika kipindi hiki cha msimu wa Krismass huku kila timu ikitaka kumaliza katika usukani wa ligi hiyo na Arsenal wanaonekana kuangaziwa zaidi na miale ya mwelekeo wa kuingia katika Krismass wakiwa vinara lakini huwenda wakahukumiwa na historia ya ligi hiyo ya Premier mwishoni mwa juma hili.

Kuelekea katika kipindi hiki maarufu kama Yuletide, Arsenal, Liverpool na Chelsea wote wanawania kumaliza kileleni mwa msimamo huo siku ya Krismass na kazi ikionekana kuwa si ya kitoto kwa washindi wa taji mara nne kusalia hapo.

Tujikumbushe historia ya kumaliza katika usukani wa msimamo wa ligi kuu ya England wakati kama huu na matokeo ya mwisho wa msimu yalivyokuwa huko nyuma 

Festive leaders                         Year   Finished

Norwich City..............................1993         3
Manchester United....................1994        1
Blackburn Rovers......................1995        1
Newcastle United.......................1996        2
Liverpool...................................1997        4
Manchester United....................1998        2
Aston Villa.................................1999        6
Leeds United.............................2000        3
Manchester United....................2001        1
Newcastle United.......................2002        4
Arsenal......................................2003        2
Manchester United....................2004        3
Chelsea.....................................2005        1
Chelsea.....................................2006        1
Manchester United.....................2007       1
Arsenal......................................2008        3
Liverpool....................................2009       2
Chelsea.....................................2010        1
Manchester United.....................2011        1
Manchester City.........................2012        1
Manchester United.....................2013        1

Katika ukweli wake ni kwamba hiyo haikupi uhakika wa kumaliza kwa mafanikio lakini inatia moyo na kujitahidi kupigana kwa kujiweka vizuri zaidi ambapo ukitazama huko nyuma kuwa vilabu saba kati ya vinane vilivyo maliza msimu wa Krismas wakiwa vinara wa msimamo walifanikiwa kuwa mabingwa wa Premier League.

Arsenal inaweza kusalia katika usukani endapo itashinda dhidi ya Chelsea katika mchezo mgumu utakao pigwa  Emirates Jumatatu jioni lakini inapaswa pia kutambua kuwa wengine wanaweza kupata nafasi hiyo maarufu kama 'Christmas No 1'. 

Liverpool, ambao wamefanikiwa kufunga jumla ya mabao 14 katika michezo yao mitatu ya ligi wanaweza kuwapiku Arsenal endapo tu watafanikiwa kuwafunga Cardiff katika dimba la Anfield Jumamosi na wakijivunia faida ya magoli ya kufunga na kufungwa endapo Arsenal wakifungwa na Chelsea.

Kwa upande wa kikosi cha kocha Mreno Jose Mourinho watafanikiwa kutinga kileleni mwa msimamo na kufurahia msimu wa sikukuu endapo watashinda mchezo wao wa uwanja wa Emirates na endapo Liverpool wakishindwa kuwafunga Cardiff Jumamosi.

Bado ni alama nne tu zinazo itenganisha Arsenal iliyo kileleni na Everton walio katika nafasi ya tano ambapo kwao mbio za kuwania taji huwa hazishindikani kwao.

Feeling Blue: Chelsea are within striking distance of the summit, but crashed out of the Capital One Cup last night after Sunderland's Ki Sung-Yong (second left) scored the extra-time winner
Takwimu zimekuwa zikiipendelea Manchester United katika kipindi kama hiki, ambao wamekuwa si zaidi ya nafasi ya sita katika Krismass na swali lingine ni endapo Tottenham au Newcastle watashinda michezo yao. 

What they're playing for: Sir Alex Ferguson lifts the Premier League trophy last May
Sir Alex Ferguson akinyanyua kombe la ligi kuu mwezi May
Leading light: Arsenal are top of the Premier League but have stuttered recently and were thumped 6-3 at City - Alvaro Negredo here scoring the second past Arsenal keeper Wojciech Szczesny

Kwanini ni ngumu kugonga glass wakati kama huu ukiwa chini ya msimamo wa ligi.

Soma Jedwali chini kujua walio ingia katika msimu wa sikukuu za Krismass wakishika mkia miaka kumi iliyopita. 

                        Team                              Season        Points      Pos    Final Pts   Finish     Relegated?
Bottom at Christmas and how they finished at the end of each Premier League season

No comments:

Post a Comment