Baba wa wachezaji wawili wa England Gary na Phil Neville amefutiwa kesi ya unyanyasajji wa kijinsia.
Neville
Neville mwenye umri wa miaka 64, alituhumiwa kufanya ubakaji umbali wa yadi 20 kutoka nyumbani kwake na mdai mwenye umri wa kati lakini hukumu hiyo imesema tukio hilo lilikuwa ni la makubaliaono.
Mwanamke aliyemtuhumu Neville alidai mtuhumiwa alimlazimisha kufanya tendo hilo akiwa amelewa.
No comments:
Post a Comment