KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, January 13, 2014

Chimodzi na Chamangwana kurejeshwa kazini kuifundisha The Flames

Chama cha soka nchini Malawi (FAM) kinatarajia kuwarejesha kazini makocha mawili walio wafukuza kazi ya kukifundisha kikosi cha timu ya taifa kuendelea na kazi hiyo.
Makocha hao ni Young Chimodzi aliyekuwa kocha mkuu na Jack Chamangwana kuwa kocha msaidizi.
Wawili walifukuzwa kazi kuifundisha Flames sambamba na Kinnah Phiri mwezi January 2013 lakini FAM baada ya mkutano wao wa Jumamosi iliyopita ikaamua kwa moyo mmoja kuwarejesha kazini wataalamu hao.

No comments:

Post a Comment