KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, February 19, 2014

FIFA YAMZODOA MANUEL PELLEGRINI KWA MALALAMIKO YAKE KUWA ALIWANYONGA DHIDI BARCELONA

Fifa imeshangazwa na kelele za ukosoaji za meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini dhidi ya mwamuzi Jonas Eriksson na kuziita kuwa ni upuuzi.

Bosi huyo wa Man City alizungumzia uwezo wa mwamuzi Eriksson usiku wa jana katika mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Barcelona kuwa hakuweza kuchezesha vema  na kwamba mwamuzi huyo raia wa Sweden ndiye aliyekuwa chagizo la kufungwa kwao.

Kelele hizo zimejibiwa na makamu wa Rais wa Fifa na bosi wa waamuzi Jim Boyce akisema 

‘It is absolute nonsense to say a referee should not be chosen for an important match because he comes from a smaller country.
‘If the referee has proved himself at the top level it should not matter what country they come from.
‘All the referees who have been chosen for the World Cup have been assessed by experienced officials who have been involved at Fifa and Uefa level and marked on their performances in the World Cup and confederation competitions at a high level.’

Football - Manchester City v FC Barcelona - UEFA Champions League Second Round First Leg - Etihad Stadium, Manchester, England - 18/2/14  Manchester City Martin Demichelis (R) is shown a red card by referee Jonas Eriksson (L) after conceding a penalty against Barcelona's Lionel Messi (not pictured)  Mandatory Credit: Action Images / Lee Smith  Livepic  EDITORIAL USE ONLY.
Mwamuzi Jonas Eriksson akimtoa nje ya uwanja Martin Demichelis
Eriksson mwenye umri wa miaka 39, amechaguliwa kuchezesha michezo ya kombe la dunia nchini Brazil na Boyce ameongeza kuwa
‘Nimeangalia maoni ya meneja na kuhusisha na mchezo na nimeuona mchezo mimi mwenyewe na kwa maoni yangu ni kuwa mwamuzi alikuwa na wakati mzuri. Ana uzoefu mkubwa na amechaguliwa kuchezesha kombe la dunia kwasababu ya ripoti yake nzuri katika michuano ya Ulaya’

Eriksson alitoa pigo la zawadi kunako dakika ya 54 kufuatia Martin Demichellis kumfanyia madhambi Lionel Messi katika kisanduku cha hatari.

No comments:

Post a Comment