KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, February 20, 2014

SAKATA LA USAJILI WA ROONEY UNITED LAELEKEA KUMALIZIKA BAADA YA KUKUBALI MSHAHARA WA PAUNI 300,000-

Rooney akirejea mazoezini Jumatano baada ya siku tano za maaandalizi mjini Dubai
Wayne Rooney amekubaliana kimsingi pamoja na mambo mengine mshahara wa pauni £300,000 kwa wiki lakini mpango huo ukisubiri kusaniwa mpaka hapo mustakabali wa haki za mauzo picha yake utakapo fikiwa.
Imefahamika kuwa mshambuliaji huyo wa United akiwa sambamba na mwakilishi wake kwa pamoja wamefurahishwa malipo mengine manono ikiwemo mshahara na marupurupu mengine ya bonasi.
Making his point: Wayne Rooney should pen a huge £300,000-a-week deal at United in a matter of days
Wayne Rooney kupokea £300,000 kwa wiki United


Hivyo, Rooney hatasaini mpango huo wa nyongeza ya mkataba wake mpya mpaka hapo makubaliano yatakapo fikiwa juu ya haki za mauzo ya picha yatakapo fikiwa.

Mtendaji mkuu wa United Ed Woodward ana imani kuwa suala hilo litafikiwa muafaka mpaka kufikia Alhamisi au Ijumaa na kuna nafasi nyingine ya kumsainisha mshambuliaji huyo mkataba wa miaka mitano na nusu mpaka kufikia Ijumaa.

Endapo halifanyika katika kipindi hicho, italazimika kusubiri mpaka United itakapo rejea kutoka katika mchezo wa klabu bingwa Ulaya nchini Ugiriki wiki ijayo.

No comments:

Post a Comment