ROCKERSPORTS

Pages - Menu

  • Home
  • Contact
  • Audio&Video
  • Profiles
  • Search
  • Education
KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, May 8, 2014

Siku chache kuelekea world cup, Polisi wa Brazil wagomea mazingira


Polisi nchini Brazil wanafanya mgomo wa saa 24 wakidai mazingira bora ya utendaji kazi, ikiwa ni siku 37 pekee kabla ya nchi hiyo kuandaa dimba la Kombe la Dunia. Polisi imetishia tena kugoma wakati wa tamasha hilo la soka la kimataifa. Polisi wamegoma katika miji kadhaa itakayoandaa Kombe la Dunia pamoja na mji mkuu Rio, ambao utaandaa mechi saba ikiwemo fainali ya dimba hilo mnamo Julai 13. Wamefanya maandamano ya amani, wakati kocha wa timu ya taifa Luiz Felipe Scolari akikizindua kikosi chake kitakachoshiriki kwenye kinyang'anyiro hicho.

Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

ALLY KASHUSHU

ALLY KASHUSHU
Mwandishi & Mhariri wa mtandao wa Rockersports
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Bashiri matokeo na Meridian kupitia huduma ya M-PESA. Bofya banner ufuate maelekezo

Bashiri matokeo na Meridian kupitia huduma ya M-PESA. Bofya banner ufuate maelekezo

Followers

Like meridiancotz/facebook page for more betting highlights

Like meridiancotz/facebook page for more betting highlights

TUWASILIANE KWA BARUA PEPE HAPA

Name

Email *

Message *

TAFUTA HABARI MBALIMBALI HUMU

WASOMAJI WETU

BADILISHA PESA YAKO YA KIGENI

  Tanzanian Shilling Converter

MITANDAO MARAFIKI

  • MICHUZI BLOG
    WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI - Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni maalum ya...
    2 hours ago
  • "The Way You See The Problem Is The Problem"
    Darasa 45: Maisha yetu kama zoezi la matofali - Darasa linakukumbusha kuwa...… Watu watatu ni mimi na wewe. Watu kumi ni mimi na wewekwa sababu kuna watu tumesimama nyuma yao. Lakini pia, ni watu wetu ...
    2 years ago
  • Teddy Kaegeles's Blog
    PHOTO OF THE DAY: MOTHER & DAUGHTER! TINA KNOWLES AND BEYONCE -
    10 years ago
  • ROCKERSPORTS
    Hatma ya Morocco kuandaa AFCON kujulikiana Nov 11 - *Shirikisho la soka barani Afrika limesema linatambua juu ya mlipuko wa ugonjwa Ebola barani Afrika licha ya kugomea ombi la kuahirishwa kwa fainali za ma...
    11 years ago
  • KIGOMA YETU - Tutaijenga Kwa Umoja Wetu
    Wakurugenzi wawili wabanwa kuhusu bil.9/ Kigoma - Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwahutubia wananchi wa Nguruka wilayani Uvinza *WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewaweka kitimoto wakurugenzi wa Halmashauri ya ...
    12 years ago
  • MAISHA PLUS [+]
    MGENI WA MAISHA PLUS TOKA BURUNDI - Kijijini cha Maisha kilitembelewa na mgeni kutoka Burundi. AISHA AMURI NDIMUBANDI anafanya kazi na Radio RPA Bujumbura.. Pichani akiwa na Babu.. Jumapi...
    13 years ago
  • DUNIA YA MICHEZO
    -

Habari kubwa juma hili

  • Chinese customs seize more than 1,000 unauthorised replicas of FIFA World Cup (and perhaps England's best chance of a trophy)
    The sight of an Englishman lifting the World Cup trophy this summer was already a distant dream for many England supporters. But now th...
  • PROGRAMU YA MAZOEZI YA TAIFA STARS KABLA YA KUIKABILI THE CRANES
    Taifa Stars chini ya Kocha Kim Poulsen inaendelea kujinoa jijini Dar es Salaam tayari kuikabili Uganda (The Cranes) katika mechi ya...
  • Gervinho & Marouane Chamakh waonyeshwa mlango wa kutokea Arsenal, Manchester United yakataa ombi la pili la Chelsea kumtaka Rooney na Brendan Rodgers anasema Arsenal wanacheza ngoma ya kujifurahisha kuhusu Suarez .
      Taarifa zinasema kuwa Gervinho na Marouane Chamakh wanakaribia kukamilisha uhamisho wao wa kuondoka katika klabu yao ya Arsenal, hii i...
  • KOCHA WA SERENGETI BOYS JACOB MICHELSEN AELEZEA HILA, VISA NA MADHILA WALIYOFANYIWA NA WAKONGO KUWAHUJUMU KIMCHEZO.
    Kocha wa timu ya taifa ya vijana, Jacob Michelsen amesema kuwa anajivunia vijana wake licha ya kuondolewa na Congo kwenye mashindano ya...
  • SIMBA KUREJEA DAR JUMATANO, TWALIBU HILALI AELEKEA ARUSHA KUONGEZEA NGUVU YA UFUNDI BABU LIEWIG.
      TIMU ya Simba inatarajia kurejea nchini Jumatano ijayo kutoka mjini Arusha ambako imeweka kambi ya kujiandaa na mechi dhidi ya Li...
  • Itawagharimu Manchester United kiasi cha pauni milioni 40 kumpata Marco Reus wa Borussia Dotmund
    It'll cost you! Borussia Dortmund have slapped a £40m price tag on Marco Reus, who is wanted by Manchester United in the January tra...
  • MABADILIKO YA KANUNI ZA LIGI KUU YA SOKA TANZANIA BARA .............SOMA KWA MAKINI MDAU WA SOKA
     UTANGULIZI Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limezifanyia marekebisho kadhaa baadhi ya Kanuni za Ligi Kuu ya Vodacom ili kuond...
  • KAMATI YA WAZEE 20 WA YANGA TOKA MIKOA YOTE KUMUUA MNYAMA KESHO TAIFA.
    Wazee wa klabu ya Yanga wameunda kamati maalum inayoshirikisha mikoa 20 ya Tanzania Bara kwa ajili ya kusimamia ligi nzima na kwa ...
  • UKURASA WA HABARI ZA KIMATAIFA:Federico Peluso kukamilisha taratibu za kujiunga na Juve hii leo. Cristiano Ronaldo anasema Mourinho ni kocha mkubwa anayefundisha klabu kubwa hivyo si rahisi kuondoka Madrid. Alexandar Pato uzee wamrejesha Brazil na Benitez anamwambia Torees ajiandae kukaa benchi Falcao anakuja.
    M linzi wa Atalanta Federico Peluso amefanyiwa vipimo vya afya hii leo katika klabu ya Juventus na anatarajiwa kukamilisha tara...
  • United yapata faida kwa asilimia 13.4%
    Mapato ya mashetani wekundu Manchester United yapanda kwa asilimia 13.4% baada ya kufikia pauni milioni £363.2 ndani ya kipindi cha miezi...
twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Tembelea maduka ya meridian jijini Dar es Salaam. Bofya chini kuyajua maduka yetu

Tembelea maduka ya meridian jijini Dar es Salaam. Bofya chini kuyajua maduka yetu

ROCKERSPORTS VIDEOS

HAYA NI MAGOLI MAWILI YA GELSON SANTOS JAJA WA YANGA ALIYOFUNGA KATIKA MCHEZO WA NGAO YA JAMII DHIDI YA MTIBWA ALIYEKUWA KATIBU WA SIMBA MICHAEL WAMBURA ALALAMIKIA MGOGORO WA KATIBA ISMAIL ADEN RAGE AZUNGUMZIA HALI YAKE BAADA YA KUPATA AJALI RAIS WA SIMBA EVANCE AVEVA AFUNGUA TAWI LA SIMBA LA HOMEBOYS WAZO JIJINI DAR ES SALAAM

HABARI MAARUFU

  • (no title)
    Happy birthday Geri Halliwell Geraldine Estelle "Geri" Halliwell ALIZALIWA August 6 mwaka 1972 .Ni English pop singer–songwriter, ...
  • Thiago Alcantar anasema lengo lake ni kuwa kama Ronaldinho Gaucho
     Thiago Alcantar amesema kuwa malengo yake ni kuwa mchezaji bora dunia kama ilivyo kwa "childhood idol" wake Roanaldinho Gaucho...
  • Diafro Sakho wa West Ham kuhusika katika mchezo dhidi ya Aston Villa
    Mfungaji anayeongoza katika klabu ya West Ham Diafro Sakho imeelezwa kuwa yuko fiti kuelekea katika mchezo wa Jumamosi wa Premier League d...
  • Real shocker: Benzema's halfway haircut is latest bizarre style in football
      Karim Benzema (katikati) na Gareth Bale   Karim Benzema managed to take some of the spotlight off £86million Gareth Bale b...
  • Marriner was wrong to send anyone off because Oxlade-Chamberlain didn't deny an obvious goalscoring opportunity
    Andre Marriner said he was wrong to send Kieran Gibbs off as it was a case of mistaken identity - replays confirmed what most observers...
  • KALUNDE BEND YATIMIZA MIAKA 7 TANGU KUANZISHWA KWAKE.
    Rais wa Kalunde Band, Deo Mwanambilimbi akikata keki kwa pamoja na Meneja wa benki hiyo, Deborah Nyangi ambaye pia ni Muasisi w...
  • EXCLUSIVE: When I had to play a West Ham fan... he outshone Lee Chapman and even scored!
    At West Ham in 1994 we had two pre-season friendlies on the same night. One team went to Billericay and I took a group to play my old c...
  • AZAM FC YAJIWEKA VIZURI DHIDI YA AL NASIR YA JUBA SUDAN KUSINI 3-1.
    Mchezaji wa Azam Bolou Kipre akijaribu kumtoka mchezaji  wa Al-Nasir ya Sudan Kon James kwenye mchezo wa kombe la shirikisho uliochezwa u...
  • FIFA yagomea mchezo wa kimataifa wa Uganda na Sudan wakisema ni kinyume na taratibu
    Shirikisho la soka duniani (FIFA) imetaka mchezo uliopangwa baina ya Uganda na Sudan kuondolewa katika mpango wa kuchezwa. Katende M...
  • RUVU SHOOTING, SIMBA ZAINGIZA MIL 17
    Mechi namba 111 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Ruvu Shooting na Simba iliyochezwa juzi (Mei 5 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar...
TAFADHALI KARIBU TENA. Travel theme. Powered by Blogger.