KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Sunday, July 13, 2014

Kocha David Mwamaja abadilisha programu yake ya mazoezi kufuatia kusogezwa mbele kwa tarehe ya kuanza ligi

Kocha mku wa kikosi cha maafande wa jeshi la Mageraza Tanzania Prisons David Mwamaja amesema hana budi kupunguza kasi ya mazoezi kwa wachezaji wake baada ya kupokea taarifa za kusogezwa mbele kwa kuanza kwa ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa mwaka 2014-15.
Mwamaja amesema tayari alikuwa ameshafika katika viwango vya juu kwenye mzoezi yake, lakini kutokana na taarifa hizoa mbazo zilitolewa mwanzoni mwa juma hilo, kuna ulazima wa kubadili mfumo ambao utawafanya wachezaji wake kupata muda wa kupumzika kabla ya kurejea tena katika mazoezi ya kasi.

No comments:

Post a Comment