KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, July 21, 2014

Steven Gerrard akubali yaishe kimataifa auvua unahodha wa England baada ya mashindano sita makubwa

Gerrard akubali yaishe kimataifa, auvua unahodha wa England baada ya mashindano sita makubwa
Nyota wa zamani wa England na Liverpool Jamie Carragher amempongeza Steven Gerrard kwa uamuzi yake ya kujiuzulu soka la kimataifa uamuzi ambao ameutoa hii leo.
Carragher, ambaye aliwahi kucheza na Gerrard katika timu ya Taifa na klabu ya Liverpool anaamini kuwa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 34 baada ya kuitumikia nchi yake kwa miaka kadhaa kwasasa anajiandaa kutoa msaada kwa kikosi cha Liverpool katika vilabu bingwa barani Ulaya.
Akikaririwa na Sky Sports News Carragher amesema
'kwa Liverpool Football Club, ni maamuzi makubwa, ninaamini mashabiki wa Liverpool watakuwa wamefurahia.
Stepping aside: Gerrard has decided to call it a day after competing in six major tournaments for England
 Gerrard ameamua na iwe mwisho sasa kufuatia kukamilisha michuano mikubwa sita akiwa na England
Backing: Gerrard's friend and team-mate Carragher thinks he has made the right decision
UJumbe wa Carragher kwa Gerrard


Leader: Gerrard captained England at two World Cups and one European Championship
Gerrard ameiongoza England katika fainali mbili za kombe la dunia na michuano ya Ulaya mara moja.
Siku za furaha: Carragher (kushoto) na Gerrard wakifurahia taji la vilabu bingwa mwaka 2005

No comments:

Post a Comment