Bosi wa Manchester United Louis van Gaal na mtendaji mkuu wa klabu hiyo Ed Woodward wametangaza kuwa kiungo Arturo Vidal ndiye mlengwa mkubwa kwao katika harakati za kuimarisha kikosi cha klabu hiyo baada ya kufanyika kwa usajili wa Angel di Maria hapo jana.
United
imekuwa ikikanusha juu ya kumtaka Vidal kipindi chote cha usajili cha kiangazi lakini pia wakionekana wakihaha kusaka mazungumzo ya kumsajili nyota mwingine wa Ajax kwa ajili ya nyota Daley Blind.
No comments:
Post a Comment