Everton wametangaza kumsajili Samuel Eto'o aliye huru kwa mkataba wa miaka miwili.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 33 aliachwa na Chelsea mapema kiangazi baada ya kuhitimisha mkataba wake na amejiunga na Toffees baada ya mipango yake ya kujiunga na Liverpool kuvunjika
Kupitia ukurasa wake wa tweeter ameandika
'Kiofisi mchezaja wa Everton...!!! tuwe tayari kwa changamoto mpya!!!'
Ni tabasamu: Eto'o akishikilia jezi ya Everton katika uwanja wa mazoezi wa Finch Farm
No comments:
Post a Comment