Furaha: Mario Mandzukic (katikati) akishangilia boli lake la dakika la pili dhidi ya Real Madrid dhidi ya Vicente Calderon usiku wa kuamkia leo |
Kelele za majirani wa Real
Madrid zimesikika kwa mara nyingine tena katika saa za mapema asubuhi ya JUmamosi katika mji mkuu wa Hispania. Msimu uliopita kikosi cha meneja Diego Simeone kiliwaduwaza Real Madrid kwa kutwaa taji la La Liga title, mara hii ni katika 'Spanish Super Cup'.
Pesa inaweza kununua wachezaji bora kutoka kote duniani lakini kwa upande wa Atletico
Madrid ni hamasa na kujipanga vizuri.
Atletico Madrid's Mario Mandzukic alifunga goli pekee katika ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Real Madrid katika mchezo wa marudiano wa Spanish Super Cup
Mfungaji wa goli la ushindi: Mshambuliaji wa Atletico Mario Mandzukic akinyanyua juu kikombe cha Super Cup baada ya kuwachapa wapinzani wao wa jiji la Madrid Real Madrid usiku wa kumakia leo
KIkosi cha ushindi: Atletico wameanza vizuri msimu kama walivyomaliza msimu uliopita.
No comments:
Post a Comment