KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, September 26, 2014

Lampard:sijazungumza na Manchester City

Mchezaji wa zamani wa kimataifa wa England Frank Lampard amesema hajafanya mazungumzo yeyote na Manchester city kwamba watamuongezea muda.
Lampard alifunga magoli matatu katika michezo mitatu tangu alipojiunga na man city kwa mkopo akitokea New York City.
Mkataba wa Lampard utamalizika mwezi Januari mwakani ,lakini Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini juma hili alisema kuwa Lampard anaweza kuendelea kubaki.

No comments:

Post a Comment