KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, August 12, 2010

maandalizi ya kumsaka mrembo wa tanzania yameanza

Miss Tanzania wa mwaka jana Miriam Gerald katika picha katikati baada ya kuvishwa taji la ushindi wa miss vodacom 2009/2010 wakati mazoezi ya kusaka mrembo wa 2010/2011 yakiwa yameanza swali ni je nani kurithi taji hili toka kwa Miriam Miria wa tatu kulia akiwa katika foleni ya kujiandaa kujibu moja kati ya mwasali muhumu mwaka jana katika shindano la kumsaka mnyange wa Tanzania

warembo waliofanikiwa kufika katika hatua ya kumi bora katika shindano la kumsaka mrembo wa Tanzania mwaka jana 2009

No comments:

Post a Comment