KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, June 28, 2012

Cristiano Ronaldo: Nilipanga kuwamaliza Spain kwa penati ya tano

Ronaldo

Nahodha wa timu ya taifa ya Hispania Cristiano Ronaldo amethibitisha kuwa alikubali kupiga penati ya tano ya Ureno katika mchezo wa jana wa nusu fainali ya Euro 2012 dhidi ya Hispania.
Ureno a.k.a The Seleccao ilipoteza katika mchezo baada ya wachezaji wake Joao Moutinho na Bruno Alves kushindwa kufunga penati zao huku Ronaldo ambaye ni mpigaji mzuri wa kutokufikia kupiga penati yake dhidi ya mlinda mlango Iker Casillas.
Amenukuliwa Ronaldo akisema
"nilikuwa nipige penati ya tano lakini tayari tulikwisha kukosa mbili, nilizungumza na kocha aliniuliza unataka kupiga penati ya tano? Nilimjibu ndio.'
"mara nyingi napiga penati ya kwanza,ya pili au ya tatu. Nilikubali kupiga ya tano
"natumaini Hispania wata chukua taji nina marafiki wengi kule na ninacheza kule na itakuwa ni fainali ngumu kwao.
Ronaldo ametanabaisha kuwa kupoteza mchezo kwa penati ilikuwa hali ngumu lakini nadhani Ureno ilikuwa katika michuano mizuri safari hii.

No comments:

Post a Comment