KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, July 14, 2012

Amir Khan v Danny Garcia


Amir Khan v Danny Garcia: Khan anamsubiri Floyd Mayweatherkwa hamu kubwa

Amir Khan ameonyesha nia ya kutaka kudhihirisha ubora wake kwa kumpiga Danny Garcia na pia akipanga kucheza na Floyd Mayweather.
Khan ambaye kwasasa ana umri wa miaka 25 anatarajiwa kucheza pambano la light-welterweight dhidi ya bingwa wa taji la  WBC Garcia kama bingwa wa taji la WBA baada ya Lamont Peerson kuvua taji lake.
Amenukuliwa akisema
"hii ni nafasi yangu kudhihirisha ubora wangu "
"naweza kushinda taji la WBC kutwaa mataji matatu kati ya manne hivyo ni wakati wa kusonga mbele."

No comments:

Post a Comment