KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, September 15, 2012

Ronaldo De Lima: Messi ananivutia zaidi kuliko Cristiano Ronaldo


Ronaldo Di Lima amesema kuwa nyota wa Barcelona ya Hispania Lionel Messi ndiye anaye mvutia zaidi na mzuri zaidi ukimlinganisha na mshambiliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo,  kwa kuwa Messi ni mbuni katika kutafuta nafasi.

Wachezaji hao wawili wa ligi ya Hispania ‘Primera Division’ wamekuwa wakionekana kama wachezaji bora kwasasa duniani na Di Lima anasema Ronaldo anapaswa kumpigia saluti Messi licha ya kuvutiwa na Ronaldo kwa aina ya uchezaji wake.

Akinukuliwa na CNN amesema
"Messi yuko juu zaidi ya Cristiano Ronaldo kwa maoni yangu, licha ya kwamba anatokea Argentina, taifa ambalo ni wapinzani wakubwa wa Brazil. Lakini nawapenda wote."

No comments:

Post a Comment