Chelsea inaimani
kuwa wako katika uongozi wa mbio za kupata saini ya kiungo Oscar ambaye
alihusishwa kutaka kuelekea Tottenham na Inter Milan.
Internacional
imedai kuwa mwishoni mwa juma ilifikia katika hatua nzuri na Chelsea, lakini
bado offer haijatolewa kwa ajili ya kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20.
lakini kwa
mujibu wa taarifa zilizo zagaa huko Brazil ni kwamba The Blues huenda wakatoa offer ambayo itakuwa ya rekodi kwa
Mbrazil huyo.
Akizungumza
na Radio Gaucha rais wa Internacional Giovanni Luig amesema
"nataka
uhamisho wa Oscar uwe mkubwa katika soka la Brazil , na Offer ya Chelsea haiku mbali na
hap."
Oscar ambaye
amechezea michezo sita katika kikosi cha timu ya taifa anatarajiwa kuonekana
katika michezo ya Olympic kule London.
No comments:
Post a Comment