KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, July 16, 2012

Capello kuwa bosi wa Russia

Fabio Capello
 Russia inajipanga kumwajiri Fabio Capello kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo baada ya makubaliano kati ya pande mbili hizo hii ni ikiwa ni kauli ya makamu wa rais wa shirikisho la soka wa Russian (RFU) Nikita Simonyan.
RFU imekuwa sokoni muda sasa kusaka kocha mpya tangu kuondoka kwa Dick Advocaat ambaye ameelekea PSV baada ya kushindwa kufanya vizuri katika kampeni za Euro 2012.
miongoni mwa wale waliopoa katika orodha ni pamoja na Pep Guardiola, Harry Redknapp, Marcelo Bielsa na Capello huku RFU sasa ikionekana dhahiri kutaka kumpa kazi kocha huyo mtaliano.
Cappelo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 66 alikuwa in charge katika benchi la ufundi la England mpaka mqwezi February na alikuwa akisaka euro milioni €12 ili kukubali kufanya popote. jukumu lake la kwanza ni kuhakikisha timu ya taifa ya Russia inafuzu fainali za kombe la dunia 2014 nchini Brazil.

No comments:

Post a Comment