KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, July 20, 2012

Sir Alex Ferguson: Rio Ferdinand sasa amekwisha

Rio Ferdinand
Meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson amesema kuwa hatarajii tena kumuona mlinzi Rio Ferdinand kuichezea timu ya taifa ya Uingereza.
Licha ya kuichezea ya timu ya taifa michezo 81 mlinzi huyo wa kati aliachwa katika kikosi cha timu ya taifa katika michuano ya mataifa ya Ulaya mwaka huu na meneja Roy Hodgson alieendelea kupuuza uwepo wake  ingawa mlinzi Gary Cahill aliondolewa kikosini kufuatia kupata majeraha.
Hodgson alisisitiza kuwa alichagua kikosi chake kwa kutegemea sababu za kisoka zaidi lakini Ferdinand akajibu hoja ya kocha huyo kupitia mtandao wa kijamii wa twitter akisema kuwa aliachwa kutokana na kuwepo kwa hali ya kutokuelewana kati ya mlinzi John Terry na mdogo wake Ferdinand, Anton.
Wakati nahodha Nemanja Vidic akijipanga kurejea katika kikosi msimu huu baada ya kuwa majeruhi wa mguu muda mrefu msimu uliopita,Ferdinand anaonekana kuwa katika hali ya upinzani mkubwa tofauti na msimu uliopita.
meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson amesema kuwa hatarajii tena kumuona mlinzi Rio Ferdinand kuichezea timu ya taifa ya Uingereza.
Licha ya kuichezea ya timu ya taifa michezo 81 mlinzi huyo wa kati aliachwa katika kikosi cha timu ya taifa katika michuano ya mataifa ya Ulaya mwaka huu na meneja Roy Hodgson alieendelea kupuuza uwepo wake  ingawa mlinzi Gary Cahill aliondolewa kikosini kufuatia kupata majeraha.
Hodgson alisisitiza kuwa alichagua kikosi chake kwa kutegemea sababu za kisoka zaidi lakini Ferdinand akajibu hoja ya kocha huyo kupitia mtandao wa kijamii wa twitter akisema kuwa aliachwa kutokana na kuwepo kwa hali ya kutokuelewana kati ya mlinzi John Terry na mdogo wake Ferdinand, Anton.
Wakati nahodha Nemanja Vidic akijipanga kurejea katika kikosi msimu huu baada ya kuwa majeruhi wa mguu muda mrefu msimu uliopita,Ferdinand anaonekana kuwa katika hali ya upinzani mkubwa toka kwa jmebe hilo tofauti na msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment