KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, January 29, 2013

DAVID BECKHAM AANZA KUFANYA MAZOEZI NA ARSENAL.

 Beckham at Arsenal
David Beckham ameanza kufanya mazoezi na timu ya Arsenal leo wakati ambapo hatma yake ya baadaye katika soka  ikiendelea kuwa kitendawili.
Nahodha huyo wazamani wa England mwenye umri wa miaka 37, amejiunga na washika mitutu hao kwa lengo kujiweka fiti wakati huu ambapo akili yake ikiendelea kusugua juu ya mwelekeo wake wa baadaye kufuatia kuondoka LA Galaxy mwishini mwa msimu wa ligi ya Marekani MLS mwezi December.
Welcome Beck: David Beckham has taken training with Arsenal players for the first time
Karibu Beck: David Beckham akiwa katika uwanja wa mazoezi wa Arsenal kwa mara ya kwanza akifanya mazoezi na wachezaji wa timu hiyo.


Welcome Beck: David Beckham has taken training with Arsenal players for the first time
Beckham alionekana Hertfordshire akifanya mazoezi na kutania na wachezaji kadhaa akiwemo Jack Wilshere, Lukas Podolski wengine wengi wa kikosi cha Arsenal. Alionekana akivalia vifaa vya Marouane Chamakh, ambaye kwasasa amepelekwa kwa mkopo West Ham.
Kiungo huyo wa zamani wa Manchester United na Real Madrid anaonekana kama anao uwezo wa kuimarisha tena uwezo wake na kucheza soka katika kiwango cha juu.
Beckham aliwahi kufanya mazoezi na Arsenal mwaka 2008 na wapinzani wakubwa kutoka London ya Kaskazini Tottenham miaka miwili nyuma baada ya msimu wa MLS kumalizika.

Kwasasa n i mchezaji huru hivyo anaonekana kutokuwa na papara ya kuamua hatma yake ya baadaye kwakuwa anaweza kusaini hata baada ya durisha la uhamisho kufungwa.

Akiongea meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amesema amemwita Bekham ili afanye mazoezi ya kujiweka fiti hivyo ni kwa ajili ya mazoezi tu na kuondoa minong'ono kama anaweza kumsajili
Much to learn: The young Arsenal squad will do to spend time with Beckham considering his experienceKikosi cha Arsenal kilichosheheni vijana hakina nafasi ya kumsajili mzoefu kama Beckham kwasasa.
Any tips? Theo Walcott latched on to the former England captain as the team were put through their paces
Any tips? Theo Walcott latched on to the former England captain as the team were put through their paces
Running man: Beckham filming an advert for Adidias in Marbella on Monday
Running man: Hapa alikuwa akifanya tangazo la adidas nchini Hispania jana kabla ya kuelekea England la leo kufanya mazoezi na ArsenalBeck in the day: Beckham walks out for training with an excited Cesc Fabregas in 2008

No comments:

Post a Comment