Julio Diaz.
Julio Diaz amepanga kumuondoa Amir Khan katika ulimwengu wa masumbwi kwa kumchapa kwa KO katika pambano lao la mwezi ujao.
Diaz Raia wa Mexico amekuwa akitazamwa kuwa ndio bondia mkali baada ya Khan wakati ambapo amekuwa akiwachapa wakali mbalimbali wa masumbwi,
Diaz anajiamni kufanya vema watakapo kuwa ulingoni pambano ambalo litachezwa Sheffield Aprili 27.
Amenukuliwe Diaz mwenye umri wa miaka 33 akisema
‘Nadhani Amir Khan ni bondia hatari’
‘Hatabiriki , ni mwepesi , na ana uwezo lakini ana udhaifu wake na nitatumia madhaifu yake hayo kuutawala mchezo.
Anatabia ya kuhamaki anapokuwa anashambuliwa na kupoteza mwelekeo’
Khan
alilazimisha Carlos Molina kustaafu mwishoni mwa raundi ya 10 mwezi Desemba katika pambano lake akiwa chini ya kocha mpya Virgil Hunter.
No comments:
Post a Comment