
Blatter alikutana na naibu waziri mkuu wa Uingereza Minister Nick Clegg katika majira lakini sasa amekubali kukutana na Cameron face to face kufuatia kupata mwaliko huko Number 10.
Blatter ataangalia presentation ya England's bid na kukutana na mawaziri wa serikali na football figures na ambassadors . wajumbe wa kamati ya utendaji ya FIFA ikiwa na wajumbe 24 watapiga kura ya nchi gani ya kuandaa fainali hizo za kombe la dunia kwa miaka ya 2018 na 2022 katika kikao cha December 2.
No comments:
Post a Comment