
nyota huyo wa kimataifa wa Italia alionyeshwa straight red card baada ya kumparamia kwa makusudi Youssuf Mulumbu katika mchezo ambao City ilichomoza na ushindi wa mabao 2-0.
Balotelli mwenye umri wa miaka 20 atakosekana katika mchezo muhimu maarufu kama Manchester derby jumatano hii dhidi ya Manchestwer united kule eastland lakini pia atakosekna katika mchezo dhidi ya Birmingham City jumamosi na mcjhezo mwingine dhidi ya Fulham jumapili ijayo.
katika mchezo aliopewa kadi nyekundu alifunga mabao yote mawili ya ushindi kabla ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Taarifa ya FA imesomeka "At a Regulatory Commission hearing today, a claim that the standard punishment is clearly excessive from Manchester City's Mario Balotelli was dismissed.
No comments:
Post a Comment