KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Sunday, July 8, 2012

Gianfranco Zola kuwa meneja mpya wa Watford


Gianfrenco Zola

Bosi wa zamani wa West Ham Gianfranco Zola amethibitishwa kuwa meneja mpya wa Watford inayoshiriki ligi ndogo ya soka ya England Championship.
Zola mwenye umri wa miaka 45 amesaini mkataba wa miaka miwli akichukua nafasi ya Sean Dyche ambaye alifukuzwa kazi wamiliki wa klabu hiyo  Pozzo family.
Zola alikuwa meneja wa West Ham toka mwaka 2008 mpaka 2010 baada ya kuonekana kwenye kipindi kirefu cha uchezaji soka kwa mafanikio katika klabu ya Chelsea ambayo aliichezea jumla ya michezo 300.
   Kafundisha  West Ham kuanzia  September 2008 mpaka May 2010
    Amekuwa in charge katika michezo 80 akishinda michezo 23 kufungwa michezo 36 na kupata sare 21.
    Ilimaliza msimu wa 2008-09 katika nafasi ya tisa kabla ya kupata dhahma katika msimu wa 2009-10 alipomaliza ligi katika nafasi 17 points tano kabla ya mstari mbaya relegation zone.

Anakuwa meneja wa pili Mtaliano kuifundisha Watford, Gianluca Vialli alikuwa wa kwanza msimu wa 2001-02.
The Pozzos familia inayomiliki klabu hiyo pia wanamiliki Udenise inayoshiriki ligi kuu ya soka ya Italia Serie A na klabu nyingine ni kule nchini Hispania ya Granada

No comments:

Post a Comment