KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, July 19, 2012

Manchester City inaihofia Real Madrid kumnasa Micar Richards

Micar Richards
Real Madrid huenda wakasaka £25 kwa ajili ya kumnasa Micar Richards ambaye klabu ya Manchester City imetangaza dau hilo.
"Real Madrid tayari wana mlinzi wa kulia , Alvaro Arbeloa na pia Sergio Ramos wakati pia kuna uwezekano mlinzi wa kati Carvalho na Lassana Diarra ambao pioa wan auwezo wa kucheza ulinzi wa kulia wakasalia."
 Kigogo hicho cha Hispania na meneja kimekuwa sokoni kusaka mlinzi mwingine wa kati na meneja wake Jose Mourinho anaonekana kusaka zaidi mlinzi versatile toka Manchester City Richards.
Lakinini hata hivyo inaarifiwa kuwa Real Madrid hawako tayari kutumia zaidi ya pauni milioni £10 kununua mchezaji wa kushindana na Alvaro Arbeloa.

No comments:

Post a Comment