KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, December 22, 2012

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WASANII WA TASNIA MBALIMBALI IKULU. LENGO LA ZIARA YA WASANII NI KUMSHUKURU KWA KUJALI SANAA MBALIMBALI IKIWEMO MUZIKI NA FILAMU


Wasanii mbalimbali wakisalimiana na Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam, katikati ni mzee King Kikii, mama Shakira Said, Juma Ubao ambaye ni mwenyekiti wa chama cha muziki wa dansi Tanzania CHAMUDATA, Bi Carola Kinasha, Mwana FA msanini wa muziki wa kizazi kipya, Hamza Kalala 'Komandoo', Waziri Ally na Ruge Mutahaba.Picha naMichuzi.

Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi pamoja na filamu uliotembelea Ikulu jana jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumshukuru kwa kuwajali wasanii wa Tanzania wa kada zote ambapo mwaka huu Rais alitoa tuzo kwa wasanii wakongwe akiwemo Muhidin Maalim Gurumo, Marijani Rajabu na Fatma bint Baraka (Bi Kidude),  marehemu Fundi Saidi( mzee Kipara na mwanariadha wa zamani John Akwari. Picha na Michuzi

No comments:

Post a Comment