KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, March 29, 2013

PATRICK LIEWIG ANASEMA KUTEREZA SI KUNGUKA BADO ANA IMANI NA VIJANA WAKE.SIMBA


Na Ezekiel Kamwaga.
 
Kikosi cha Simba leo kimefanya mazoezi yake ya mwisho katika Uwanja wa CCM Kirumba kabla ya mechi ya kesho dhidi ya TOTO African ya hapa Mwanza.

Hali ya wachezaji kwa ujumla ni nzuri na mchezaji pekee aliye kambini ambaye ana hatihati ya kucheza kesho ni Haruni Chanongo, aliyeumia katika mechi iliyopita dhidi ya KAGERA SUGAR.

Amri Kiemba ambaye hakucheza mechi ya Kagera anarejea uwanjani baada ya kumaliza kutumikia adhabu yake kadi tatuza njano.

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Liewig, amesema pamoja na kupoteza mechi ya Kagera, bado ana imani na vijana wake.

No comments:

Post a Comment