KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, June 14, 2013

MANCHESTER CITY WANAKARIBIA KUMCHUKUA KIUNGO WA MALAGA ISCO

Star man: Isco has shone for Spain at the European Under 21 Championships

Manchester City wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo mchezeshaji wa Malaga Isco ukiwa ni usajili wao wa tatu katika msimu huu wa usajili wa kiangazi.

 City wanaamni kuwa mambo ya msingi ya makubaliano ikiwa ni pamoja na maslahi binafsi ya mchezaji huyo yatakubaliwa na kiungo huyo anayechipukia wa kikosi cha timu ya taifa cha Hispania cha umri chini ya miaka 21, ambaye anatakuwa akimfuata Manuel Pellegrini katika viunga vya Etihad wiki zijazo.

Kocha raia wa Chile Pellegrini aliihama Malaga mwishoni mwa msimu uliopita na mabingwa hao wa ligi ya England msimu wa 2012 wanatarajia kumtangaza Pellegrini mwishini mwa juma.
Isco fever: The Spain Under 21 star (left) is close to joining Manchester City, according to Sportsmail sources
Isco mchezaji wa Hispania Under 21 (kushoto) anakaribia kujiunga na Manchester City.

Isco mwenye miaka 21, alingara katika ligi ya hispania La Liga na ligi vilabu bingwa Ulaya akiwa na Malaga lakini sasa amedokeza juu ya azma yake ya kuondoka Hispania.
Star man: Isco has shone for Spain at the European Under 21 Championship
Rising star: Isco came to prominence under Manuel Pellegrini at Malaga

Target man: City are still looking for a striker, with Napoli's Edinson Cavani a potential target
City pia wanamtaka mshambuliaji wa Napoli Edinson Cavani.

No comments:

Post a Comment