KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, July 24, 2013

MANCHESTER UNITED WAONDOKA YOKOHAMA NA KUELEKEA OSAKA NA MATOKEO MABOVU YA KUJIANDAA NA MSIMU MPYA.

All aboard: United's squad get ready to leave Yokohama for Osaka
Wachezaji wa United wakiondoka Yokohama na kuelekea Osaka.

Cheer up, Steve: Moyes looks considerably happier that his assistant Steve Round
Moyes akionekana ni mwenye furaha akiwa karibu na msaidizi wake Steve Round.

Farewell: Ferdinand takes one last picture on his phone before leaving Yokohama
Ferdinand akipiga picha ya mwisho kwa kutumia simu yake ya mkononi kabla ya kuondoka Yokohama hii leo.

All smiles: Coach Phil Neville has a photo with a fan before boarding the train
Kocha Phil Neville akipiga picha na shabiki kabla ya kupanda treni ya kasi kulekea Osaka.


Kikosi cha David Moyes kimeondoka Yokohama na kuelekea Osaka kwa treni ya mwendo kasi hii leo.

United imeelekea Kusini-Magharibi ya Japan kabla ya mchezo mwingine Ijumaa dhidi ya Cerezo Osaka ikiwa ni baada ya kupoteza mchezo wa pili katika jumla ya michezo mitatu mpaka sasa dhidi ya Yokohama F Marinos hiyo jana. 

Mshabiki walifurika huko Yokohama na Osaka kuwapa mkono wa kwaheri akina Rio Ferdinand na Ryan Giggs, wakati ambapo meneja Moyes akionekana kuwa katika hali ya kawaida licha ya kiwango kibovu cha kikosin chake katika pre-season.

Red faced: United lost 3-2 in Yokohama on Tuesday
Kichapo cha 3-2 kutoka kwa Yokohama jana. 

Baada ya mchezo wao wa Ijumaa dhidi ya Osaka United wataelekea Hong Kong kucheza na Kitchee kabla ya kukabiliana na AIK mjini Stockholm na baadaye Sevilla katika dimba la Old Trafford.

Touchdown: Ferdinand and Ashley Young alight in Osaka
Ferdinand na Ashley Young wakiwasili Osaka

Back to business: Giggs and Co face Cerezo Osaka on Friday
Giggs.

No comments:

Post a Comment