KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, August 19, 2013

Kesi ya kupanga matokeo dhidi ya Fenerbahce kusikilizwa siku ambayo watakuwa na mchezo wa klabu bingwa Arsenal.

In for long? Fenerbahce's Moussa Sow scored in their qualifying round tie against Salzburg
Mshambuliaji wa Fenerbahce Moussa Sow alifunga goli katika mchezo wa kufuzu dhidi ya Salzburg.

 Shauri la zuio la miaka miwili kwa klabu ya Fenerbahce ya Uturuki kutokushiriki michuano ya vilabu Ulaya kuendelea ama laa linatarajiwa kufanyika katika ambayo klabu hiyo itakuwa ikicheza dhidi ya Arsenal mchezo wa play-off wa Champions League.

Fenerbahce na Besiktas, ambao walikutwa na hatia ya kupanga matokeo walielekeza kesi yao katika mahakama ya michezo dunia CAS baada ya hukumu ya awali ya zuio la kutokushiriki michuano ya vilabu Ulaya kutolewa na shirikisho la soka barani Ulaya UEFA.

Katika taarifa ya CAS kupitia mtandao wake imesema
 'Shauri la kesi ya Beşiktaş JK litachukua nafasi Agosti 20 2013 na lile la Fenerbahce SK litasikilizwa Agosti 21 na 22 huko Lausanne.
 
Mchezo wa marudiano baina yao na Arsenal utafanyika Jumanne ya Agosti 27 siku moja kabla ya maamuzi kutolewa.
Needing a win: Olivier Giroud will hope to grab another goal in the Champions League play-off
Pensive: Arsene Wenger will be wanting a better performance from his team this season
Arsene Wenger atakuwa akihitaji kiwango bora siku ya mchezo huo.

No comments:

Post a Comment