KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, September 21, 2013

KUELEKEA MCHEZO WA KESHO BAINA YA UNITED NA CITY, ROONEY ANASEMA LIVERPOOL NI ZAIDI YA CITY.

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney amesema upinzani wa soka baina ya United na Liverpool ume ondoa upinzani mkubwa katika mchezo wa Manchester derby.

Kesho mabingwa hao watetezi wa taji la ligi kuu ya soka nchini England watakuwa wakikabiliana na Manchester City mchezo ambao utapigwa katika dimba la Etihad mchezo ambao unaweza ukawa ni taswira ya kuelekea katika taji mwezi Mei, lakini mshambuliaji huyo wa kimataifa wa England anaamini kuwa kucheza na Liverpool kunaleta msisimko zaidi.

“City imekuwa na mafanikio hivi karibuni lakini ninaweza kusema kuwa mchezo baina ya United na Liverpool bado ni mchezo mkubwa zaidi.”

Lakini Rooney, ambaye amefunga jumla ya magoli saba katika jumla ya michezo 19 waliyokutana dhidi ya City, yuko makini juu ya umuhimu wa mchezo huo na kwamba watakwenda sambamba na City ambao wanatazamwa sana juu ya nafasi yao ya kutwaa taji.

“It’s a massive game between two title contenders,” Rooney continued. “It’s not going to define the season, but it’s a big game, a local derby.

“The English players are more aware of what it means after the last four or five years. It’s a big game and we’ll be going there hopefully to win. I’ve scored a few goals against City and I’m looking forward to the match.”

No comments:

Post a Comment