Wote kwa pamoja wakipozi kwa ajili ya picha kabla ya kutokea kwenye bata la Christmas bash |
Ashley Cole wa Chelsea aliungana na wachezaji wa timu pinzani ya Arsenal wakati Gunners wakisheherekea pati yao ya Christmas usiku wa jana licha ya kwamba Chelsea wanaandaa pati yao maarufu kama 'festive bash'.
Inaaminika kuwa mlinzi huyo wa zamani wa Arsenal aliwafuaata washikaji zake akina Ryan Bertrand na Andre Schurrle huko jijini London 'Nightspot Libertine' ikiwa ni masaa 24 baada ya mchezo wao wa Capital One dhidi ya Sunderland.
Wachezaji wa Chelsea wao waliaamua kuahirisha pati yao ya Christmas ambayo pia ilitakiwa kufanyika usiku wa jana.
No comments:
Post a Comment