KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, January 9, 2014

Bayern Munich yawanguzia gharama za usafiri mashabiki wake katika mchezo wa marudiano dhidi ya Arsenal

 Bayern Munich imejipanga kuwapa faraja mashabiki wake kwa kuwapunguzia gharama za safari kwa kulipia kiasi cha pauni milioni £74,320 ikiwa ni ruzuku kwao kuelekea katika mchezo wa mwisho wa hatua ya mtoano kuelekea Arsenal mwezi ujao.
Mabingwa hao wa Ulaya wameamua kuwapa faraja hiyo mashabiki wao ikiwa ni shukurani hususani kwa kikundi kitakatifu ushangiliaji ambao wamekuwa wakitoa sapoti kubwa kwa klabu yao.
Bdala ya kununua toketi kwa pauni £62, tiketi hizo sasa zitanunuliwa kwa pauni £37, licha ya kuwa tayari takribani mashabiki 18,000 wamesha omba nafasi 2,974 kwa mechi ya mchezo wa kwanza.

No comments:

Post a Comment