KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, January 10, 2014

David Moyes alimwa faini na FA kwa kuhoji maamuzi ya waamuzi

Meneja wa Manchester United David Moyes akutana na adhabu ya chama cha soka nchini Uingereza kutokana na utovu wa nidhamu.
Adhabu yake inahusishwa na maoni yake ya mchezo wa Jumanne wa michuano ya League Cup ambapo United walipoteza mchezo huo kwa kichapo cha mabao 2-1 na Sunderland.

Moyes alikaririwa akisema United imeanza kuchekeshwa na waamuzi kutokana na maamuzi yao ya kutosha.
Akaongeza kwa kusema "ni waamuzi wachezaji wa timu pinzani".
Tunaelekea kwenye kipindi kigumu lakini hakuna shaka ni sehemu ya kazi ya makocha, haitakuwa rahisi
Brendan Rogers wa Liverpool mwenye umri wa miaka 40 alilimwa faini ya pauni £8,000 na chama cha soka Uingereza FA kwa kuhoji maamuzi ya mwamuzi mzaliwa wa Bolton Lee Mason ambaye alichezesha pambano lao dhidi ya City ambapo walifungwa mabao 2-1. Day.

No comments:

Post a Comment